JOEL LWAGA – WANITAZAMA Lyrics 

Mkono wako umenishika

Fimbo yako yaniongoza

Gongo lako lanifariji
Umenisitiri umenifanya hodari

Uliliona chozi langu la ndani
Ukalifuta na kunipa amani
Unyonge wangu haukukuweka mbali
Ukaniinua na kunipa dhamani

Eeh Bwana, wanitazama
Baba, baba Mungu usielala
Wanitazama, wanitazama
Baba, baba Mungu usiechoka

Mi ni mboni yako
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Mi ni mboni yako

Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Akili zangu Zilifika mwisho

Na kuona Mungu hunitazami
Taabuni

Na wanadamu
Wakapata cha kusema kuwa
Mungu wangu hayupo
Tena nami

Nilipoona ni mwisho
Wewe ukatangaza mwanzo
Nilipodhani ni pigo
Kumbe ni lako kusudio

Kilipozidi kilio
Wewe ukaleta kicheko
Ukadhihirisha kwa macho
Wewe ni langu kimbilio

Uliliona chozi langu la ndani
Ukalifuta na kunipa amani
Unyonge wangu haukukuweka mbali
Ukaniinua na kunipa dhamani

Eeh Bwana, wanitazama
Baba, baba Mungu usielala
Wanitazama, wanitazama
Baba, baba Mungu usiechoka

Eeh Bwana, wanitazama
Baba, baba Mungu usielala
Wanitazama, wanitazama
Baba, baba Mungu usiechoka

Mi ni mboni yako
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee

Mi ni mboni yako
Yesu wee, Yesu wee
Jicho lako
Yesu wee, Yesu wee


Uliliona chozi langu la ndani
Ukalifuta na kunipa amani
Unyonge wangu haukukuweka mbali
Ukaniinua na kunipa dhamani


Eeh Bwana